Atleast seven Tanzania political and government leaders, two in the incumbent government – have been found to own properties (houses) in Johannesburg and Durban, South Africa. Investigations demonstrate that the kleptocrats have favoured real estate in South Africa cities as a means for hiding their money, believed to be ill gotten, especially from corruption and money laundering. The spotted officials ...

Aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga anashikiliwa na kikosi kazi cha Serikali kutoka Makao Makuu Dar, kinachohusika na kukusanya madeni. Taarifa za uhakika zinasema Kalanga amekamatwa leo majira ya jioni nje ya ofisi za NMB na askari wa Takukuru na baadaye kupelekwa ofisi za TAKUKURU mkoa. Akiwa njiani inadaiwa alikuwa akilalamika kwamba Mdhamini wake wa Mkopo huo Ndugu Kadogoo amemkimbia ...

Kosa moja la kiufundi linaloweza kufanywa na Kamati Kuu ya CCM (CC) na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) na kupelekea jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro ni kumpitisha mgombea ubunge aliyegushi shahada yake ya sheria. Huyu ni Habib Mruma aliyeshika nafasi ya tatu ambaye Baraza la Seneti la chuo Kikuu Mzumbe katika mkutano wake wa 67 uliofanyika tarehe 25 Novemba ...

Saed Kubenea, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam kupitia CHADEMA, ameburuzwa mahakamani kwa tuhuma za kushindwa kulipa Sh milioni 9. Kubenea aliyehamia chama cha ACT-Wazalendo, anatakiwa kufika Mahakama ya Mwanzo Kawe jijini Dar es Salaam, Agosti 17, 2020 ambako shauri hilo limefunguliwa. Anayemdai ni Deusdedith Kahangwa ambaye aliyekuwa mwandishi katika gazeti la Kubenea, kupitia Kampuni ya Hali Halisi ...

Mmoja wa wanachama wa CHADEMA aliyekata rufaa kupinga matokeo ya kura za maoni kwenye ubunge Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, ameamua kuondoa rufani yake. Mtia nia huyo, Deusdedith Kahangwa, juzi – Agost 7 aliandika barua (tumeinasa) kwenda kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika akieleza kuondoa rufani yake kwa sababu za kudorora kwa afya yake. Katika barua hiyo yenye nakala kwa ...

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo kimeshindwa kulipa fedha ya siku moja kuendelea na kikao katika hoteli ya Bahari Beach, Kunduchi jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kilichoanza juzi, Agosti 5, 2020 katika hoteli hiyo, kilikuwa cha kumaliza migogoro ya uamuzi kwa watia nia 63 ambao walikata tufaa dhidi ya vikao vya chini. Katika kikao hicho, wajumbe walialikwa kutoka maeneo ...

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Gideon Nasari, bado anapambana kuchomoka katika shauri la rushwa, kutakatisha fedha na matumizi mabaya ya madaraka wakati akiwa ofisini. Shauri hilo ni moja ya mashauri mengine mawili yanayoendelea kuchunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika ofisi zake za Dar es Salaam. Nasari ameongoza NDC kuanzia 2007 ...

Ili Chama cha Mapinduzi (CCM) kushinda katika Jimbo la Moshi Mjini kunahitajika Umoja na Ushirikiano wa Hali ya Juu na ni lazima Mkakati huo utazamwe kwa Upana bila kuhofu jambo lolote. Kwa sasa Moshi Mjini kuna Mpasuko Mkubwa ndani ya Chama cha Mapinduzi, Kuna kundi la Matajiri ambao waao ndio wanajiita ‘wenye CCM’ na kuna kundi la Wanyonge ambao wao ...

Baadhi ya wakubwa wa serikali zilizopita, wakiwamo mawaziri, manaibu wao, wakurugenzi wa mashirika, wameanza kuhojiwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) kuhusu mkataba wa kuuza hisa za mgodi wa chuma na makaa ya mawe, Liganga na Mchuchuma. Miongoni mwa vigogo hao ni William Ngeleja, aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, wakati mkataba huo unafungwa kati ya Serikali ...

Uchimbaji wa dhahabu katika mgodi wa Buzwagi, ulioko Kahama, Shinyanga nchini Tanzania unatarajiwa kufungwa Machi, 2021. Taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa kufungwa kwa mgodi huo kunafuatia kukosekana kwa kiwango cha dhahabu iliyotatajiwa. Imeelezwa kuwa kiwango kijachopatikana sasa ni kidogo mno kiasi cha kushindwa hata kupata mapato ya uendeshaji wa shughuli za uchimbaji na mahitaji mengine. Wafanyakazi kupunguzwa Aidha, tumedokezwa zaidi kuwa ...