Tanzania sasa inalazimishwa kuingia kwa kasi katika ile inayoitwa “dunia ya kisasa ya haki kwa kila mmoja” baada ya kampuni za wawekezaji wakubwa kulazimisha ajira kwa watu wenye jinsia tata (wale wanaofanya mapenzi ya jinsia moja) maarufu kuwa LGBT+. LGBT+ ni kifupisho cha Lesbian (wasagaji), Gay (wasenge), Bisexual (wenye jinsia mbili), Transgender (mtu aliyebadili jinsia kwa upasuaji) na + ikiwakilisha ...

Katika Mkakati wa kisiasa uliosukwa na chama tawala (CCM) kudhoofisha vyama vya upinzani Tanzania kwa ‘kununua’ wabunge, nusura hamahama hiyo imkumbe pia Mbunge wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea. Chanzo chetu cha uhakika kinabainisha kuwa Kubenea ambaye alikuwa na mpango wa kukihama chama chake, kila kitu kilikamilika kwa kiwango kikubwa lakini alilazimika kubadili msimamo wake baada ya kifo cha mfanyabiashara tajiri, ...